Recent content by Jovin kalesi

  1. J

    HESLB yatoa Awamu ya Nne na ya mwisho wanafunzi waliopangiwa mikopo

    Namshukuru mungu nimepata..... Ahsanten wana JF mmechangia kiasi Kikubwa kutupa moyo... God bless you.
  2. J

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Wengine bado tunakosa, form zetu ziko vizuri na fani ni priority. Why only us. Wajaribu kutoa japo kwa asilimia chache...kama pesa haitoshelezi, kuliko kuachwa kabisa.
  3. J

    Ufafanuzi

    Vumilia mkuu.... Mungu yu pamoja nasi.
  4. J

    wanavyuo mnalipi la kumwambi Mh Magufuli kuhusu mchakato mzima wa mambo yetu

    Kwa kweli hata mimi, namuomba ajaribu kuliangalia tena kwa wale waliofaulu kujiunga na vyuo wapate mkopo wote. Coz mwenye sifa ni yule aliyepata chuo. Au mwenye sifa anakuaje...? Labda tufahamishane.
  5. J

    wanafunzi wakataliwa chuo kikuu dodoma

    Hahahaaa, hebu acheni hizo. Inasikitisha kiukweli...kama walikuwa na muda wao wa kuripoti wangetaarifiwa... Nani tumlaumu? NACTE au UDOM....
  6. J

    Kwa mwenye uelewa changia hapa

    Electrical is best...my friend.
  7. J

    HESLB: kwa waliokosa mkopo

    Ok... Nitafanya kuagiza..
  8. J

    Tunaosubiria 4th lot

    Ok...nashukuru ndugu....
  9. J

    Tunaosubiria 4th lot

    Wajitahidi angalau kuweka mambo sawa. Maana hali sio nzuri....
  10. J

    HESLB: kwa waliokosa mkopo

    Je, ukimuagiza mtu, watakubali akuangalizie taarifa zako? Maana wengine tupo mbali sana na Dar...
  11. J

    Tunaosubiria 4th lot

    Nashukuru, ngoja nivumilie..
  12. J

    Tunaosubiria 4th lot

    Mim ni mmoja kati ya waliokosa lots zote 3, nimechaguliwa UDOM- BEDA je watatoa 4th lot? Na kama watatoa itachukua muda gani? Help please..
  13. J

    Tumekosa mkopo hadi Awamu ya 3

    Jaman hata mim pia ni mmoja wapo wa wakosa mkopo lots zote, mliokwenda hselb mtuambie kuna matumain huko?
Back
Top Bottom