Recent content by JourneyMan

  1. JourneyMan

    Jana nilianzisha vurugu nikapigwa. Nifanyeje kurudisha heshima? Leo sijatoka ndani

    Jana ilikua siku yangu ya tatu Kupiga Pombe, mara mbili zilizopita nilijaribu nyumbani... Nikatoka na mshkaji, mda wa kurudi nikawakuta jamaa flani kijiweni ndio nikaanza kuwachokoza (mashuhuda wanadai nilikua nawapiga piga mateke huku nikiwaambi nina mda sijapiga mtu), niliyekua naye anasema...
  2. JourneyMan

    GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Ifike hatua hata kutubu kuwe na mipaka, haiwezekani wewe ni kutesa na kuua watu miaka na miaka, utubu tuu ghafla tena baada ya kuona huna cha kupoteza halafu usamehewe zambi zotee? Mimi kwa kweli kuna watu Ukiniambia chaugua, 1. Wote mfutiwe dhambi au 2. Kila yule ahukumiwe kwa dhambi zake...
  3. JourneyMan

    PreGE2025 Tangu Rais Samia atoe mipasho kwa Mpina Jana, Leo kila Mbunge anamwaga Sifa huko Simiyu

    Hio itilima ishajifia, Asilimia ya viumbe unavyoviona huko sio ukionavyo, ni vibwengo, Hio wilaya idadi ya wachawi na fisi inazidi iadadi ya watu wanaoishi..
  4. JourneyMan

    Tetesi: Yuko wapi Rais Kagame? Duru zinasema ameshatutoka, wenye taarifa zaidi tafadhali mtujuze!

    Natamani hizi taarifa ziwe za kweliii... Ndio roho yangu, Comment yangu isiguswe.
  5. JourneyMan

    PreGE2025 Butiama: Mbunge Sagini achinja ng'ombe 500 kutoka uturuki na kugawia wananchi sikukuu ya ‘Eid al-Adha’

    Hizo nyama zinachinjwa sehemu nyingi tuu na hao Waturuki, mbona hata Lucas Mwashambwa juzi alipewa kondoo wake..
  6. JourneyMan

    CCM Ni Dude Moja Kubwa Sana Ambalo Mtu na genge lako Huwezi Kushindana Nalo na Ukaliweza au Kulidhoofisha. Waliojaribu waliishia Kufedheheka

    Hapa sasa Umenena,, Jibu lako limeondoa utata wa siku zote... Hukutaka kua mnafiki.... 🧠🧠🧠🫁🫁🫁🫀🫀🫀🩸🩸🩸 ⚰️ ⚰️ ⚰️ ☁️☁️☁️
  7. JourneyMan

    David Kafulila: Miaka 60 hekta 500,000 za umwagiliaji miaka 4 ya Rais Samia hekta mpya 400,000

    Ni kweli, maana hata Ardhi ya Tanzania inaongezeka ukubwa, tunapata maeneo mapya.
  8. JourneyMan

    CCM Ni Dude Moja Kubwa Sana Ambalo Mtu na genge lako Huwezi Kushindana Nalo na Ukaliweza au Kulidhoofisha. Waliojaribu waliishia Kufedheheka

    Lucas Mwashambwa naomba unijibu tuu hapa tuu inatosha... Kati ya 1. Familia yako 2. CCM yako 3. Mungu(hapa hamna neno yako sbb sina uhakika) 4. Wazazi wako.. 5. Utu wako.. Kipi ni cha kwanza?, yaanu kwenye maisha yako nini kikiondoka/unaweza kukiondoa hapo bila shinda? NB : kimya pia...
  9. JourneyMan

    Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Week iliyopita nilikua na msala mmoja ulinitesa mno, ila eti leo nipo free.. Anyway hivi nyie wenzangu Mnakulaje mademu kirahisi bila Kuogopa ngwengwe wala Mimba zisizo na mpango..
  10. JourneyMan

    Je kuna Solar Inaweza kuendesha Freezer?

    Sorry Boss sikujibu sababu nilikua sijalinunua, Nimeshalinunua la lita 340. Hizi ndio specifications zake Power Input: 240W. Rated Current: 1.4A. Voltage: 220-240V. Daily Power Consumption: 1.5kwh/24h, MAX. Hua niki set temperature ya kawaida linatumia 0.9-1.0kwh/24h.
  11. JourneyMan

    Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

    Mmegoma kunipa uzoefu ili nijichanganye? HORSE POWER Naomba uzoefu wako kama fundi mzee baba.
  12. JourneyMan

    Ni wapi Kariakoo Wanahifadhi/laza Mizigo uichukue siku nyingine?

    Nimezoea kununua bidhaa, baada ya hapo nakusanya shop flani hivi then nikimaliza nachukua Usafiri napeleka dukani. Sasa kuanzi J3 mpk J5 kuna manunuzi nitafanya, Mzigo utakua mkubwa kdg siwezi kujaza pale ofisini ni kero lakini pia huu unatakiwa uende Mkoani sio hapa Dar, Hivyo nilikua nataka...
  13. JourneyMan

    Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

    Wadau nahitaji Showcase/display fridge ya lita 300-380, kwa ajili ya biashara.. Nikinyoosha sana mkono Naishia 1.5M, kulingana na Brand na ujazo. Brands ninazoziwaza ni kati ya Midea Haier Hisense Westpoint Bruhm au Von, Ninacho omba kujua kwa wazoefu, kuna za mtumba Nyingi tu kama LG...
  14. JourneyMan

    Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

    reyzzap 😪😪😪 upumzike salama, kariakoo imepoteza winga machachari, angalau na sisi tupumue, Ulikua unakabia juu sana.
Back
Top Bottom