jamani kuwa waziri mkuu lazima uwe katika wakati umeshawahi kuwa hata naibu waziri pili lazima uwe mbunge wa jimbo so pinda ana sifa zote mbili ila prof ana moja sooo tibaijuka hawezi kuwa waziri mkuu k kwa wakati huu haiwezekani .....
hata prof hawezi kuwa waziri mkuu coz hajawahi kuwa waziri sifa za kuwa waziri mkuu lazima uwe hata naibu huko nyuma na pili uwe umechaguliwa na wananchi wa jimbo fulani pinda sifa zote anazo pro anayo moja tu pole kaka angalia kabla ya kupost kama hujui kaa kimya.......
hahahah tutaproof udanganyika wetu maaana cndo tuko hivyo maana baba ana roho mbaya yule katuingiza watanzania wote kwenye gharama ambayo faida yote imeiingia mfukoni kwake :smile-big:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.