BINAFSI SIONI TATIZO LA MTU KUWA NA LAINI ZAIDI YA MOJA CHAMSINGI LAINI ZOTE AWE AMEZISAJILI KWA MAJINA YAKE NA VITAMBULISHO VYAKE.
WATU WANA LAINI TOFAUTI KWA MATUMIZI TOFAUTI.KWA MFANO,MTU ANAKUWA NA LAINI KWA SHUGHULI KAMA ZA MPESA,AIRTEL MONEY,TIGO PESA
AU SHUGHULI ZA KIKAZI TU,MFANO VYUONI...
Utaratibu umetolewa,kama uko KARIBU NA wilaya ulikozaliwa VYETI vipeleke ofisi za wakuu wa wilaya vitahakikiwa na wshusika wa vizazi NA vifo ila kama uko mbali au uko DSM jisajili kwenye mtandao wa RITA.Utaapload cheti hicho NA pay in slip ya sh.3000 ambayo italipiwa ktk bank ya NMB.KUWENI SHARP...
Kwa wahitaji wa Huduma ya mtandao wa FFARS na TRA katika shughuli za kifedha kwa SHULE za msingi na sekondari,tunaweza kuwasiliana kwa namba 0620191802 kwa Huduma ya kimtandao muda wote.
Usikwame kujihudumia mwenyewe kwa sababu ya mtandao.Tuwasiliane ili kuondoa changamoto za hapa na pale...
Kwa vijana wanaohitaji kuapply mikopo mfumo ulishafunguliwa na Bodi ya mikopo. Kama unashindwa kuapply kwenye mtandao tunaweza kuwasiliana ili kusaidiana katika kutuma maombi online.Ukipata changamoto nishtue kwa NAMBA 0620191802 pia kwa whatsap.Kazi kwako NA Huduma ya internet muda wote na saa...
ILI UPATE DIVISIONS FANYA YAFUATAYO:
POINTS:
A= 1
B=2
C= 3
D=4
F=5
ZIDISHA IDADI YA KILA DARAJA KADRI MWANAFUNZI ATAKAVYOKUWA AMEPATA KWA THAMANI YA DARAJA HUSIKA KAMA ZILIVYO HAPO JUU NA KUPATA JUMLA YAKE KWA MASOMO 7 TU ALIYOFANYA VIZURI ZAIDI.
BAADA YA KUPATA JUMLA ZINGATIA MADARAJA YA...
Niko jiji la mbeya (mwalimu wa sekondari).nahitaji kubadilishana na mwalimu wa sekondari aliyeko manispaa ya kinondoni ili yeye aje jiji la mbeya nami niende manispaa ya kinondoni.
Simu: 0756082356/0786088394/0763424492
WADAU ZA MAJUKUMU.NAOMBA KAMA KUNA MWALIMU WA SEKONDARI KATIKA MANISPAA YA KINONDONI ANAHITAJI KUBADILISHANA ENEO LA KAZI KWENDA JIJI LA MBEYA MWAKA HUU TUWASILIANE TAFADHALI.
SIMU: 0756082356
0786088394
0763424492
e-MAIL: j2000gm@yahoo.com
SHUKRANI.
Habari za majukumu ndugu zangu,EID MUBARAKA
Iwapo una mwanao au ndugu yako amehitimu kidato cha nne au cha sita kwa ufaulu wowote ule na ungependa ajiunge na kozi mbalimbali za ngazi ya cheti au diploma, TAFADHALI nafasi ziko wazi.PIGA SIMU NO. 0756082356,0786088394 ili upewe maelekezo kujiunga...
Kwanza hongereni kupata post zilizosubiriwa kwa hamu kubwa licha ya mizengwe za hapa na pale lakini hatimaye yametimia.
Naomba kwa mwalimu yeyote ambaye amepangwa mkoa wa KAGERA, Manispaa ya Bukoba(BUKOBA MJINI) angehitaji kubadilishana na mwalimu kutoka JIJI LA MBEYA tafadhali tuwasiliane...
Kwanza hongereni kupata post zilizosubiriwa kwa hamu kubwa licha ya mizengwe za hapa na pale lakini hatimaye yametimia.
Naomba kwa mwalimu yeyote ambaye amepangwa mkoa wa KAGERA, Manispaa ya Bukoba(BUKOBA MJINI) angehitaji kubadilishana na mwalimu kutoka JIJI LA MBEYA tafadhali tuwasiliane...
Kwa wale walimu wote waliokuwa wanasubiria ajira mpya 2013/2014 tayari majina yako kwenye web ya TAMISEMI.Kajiachie mwenyewe uangalie mkoa na wilaya ulikopangwa kufanya kazi.
Samahani tena kwa usumbufu, naomba kupata mawasiliano na walimu wafuatao:
1.WILLIAM JOHN ( TEKU) kutoka Mbeya ambaye...
Walimu wakipata huduma bora hata utendaji kazi wao lazima uwe bora.Huduma kwao ni kuanzia mazingira ya kufundishia na kujifunzia pamoja na maslahi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.