Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua haki za msingi za wananchi, huku ikiruhusu haki hizo kuwekwa mipaka kwa mujibu wa sheria pale inapohitajika kwa usalama wa taifa, amani na utaratibu wa umma. Lakini kuna kanuni moja ambayo haiwezi kubadilika:
Sheria lazima itumike kwa usawa...
Je, Zanzibar ni Nchi (State) au siyo? Hebu Tuache Hisia, Tuzungumze kwa Sheria.
Kila mara mjadala huu unajirudia.
"Zanzibar ni nchi?"
"Au ni sehemu tu ya Tanzania?"
Badala ya kubishana kwa hisia, tuangalie sheria.
Moja ya vigezo vinavyotumika duniani kutathmini kama eneo ni State ni Montevideo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.