Haimanishi ccm na serikali za awamu zake zote hakuna mazuri wameyafanya,la,yapo.lakini toka tupate Uhuru ukiweka mizania ya mazuri na mabaya pamoja na utajiri wa rasilimali tulizo nazo, utagundua wametuchelewesha kweli.Ndio maana tunataka mabadiliko yaki-mfumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.