Recent content by josephthadey

  1. J

    Ajali: Magari yagongana uso kwa uso Iringa na kuua

    Dah hz ajali zitaisha lini?? haipiti mwezi bila basi kuua
  2. J

    Msaada: Ulanga iko wapi?

    Ndio nshawahi
  3. J

    Msaada: Ulanga iko wapi?

    Hapa ukifuata ushauri wa wengine unaweza kujikuta uko Congo Ulanga na Mwanza mnafika sawa??
  4. J

    Naombeni msaada wenu kiushauri

    Wana JF naombeni ushauri wenu..Meno yangu yameoza toka nikiwa mdogo sasa nina miaka 21 nachukia sana rangi ya meno yangu kwani sina uhuru ninapokuwa katika maongezi na watu nifanye nini yarudi kuwa meupe kama zamani?
  5. J

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    kufa ni kufa kujinyonga mbwembwe
  6. J

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Sugar ni kiingereza kwa kiswahili ni sukari
  7. J

    Vurugu kubwa Arusha stend ya mkoa

    Arusha hii kila siku matatizo ila mgambo nao wamezidi
  8. J

    mfungwa mjanja

    Hahahah jamaa ametisha
Back
Top Bottom