Recent content by Josephmnyonzi

  1. J

    Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

    Tulia wewe hayo mapovu yatawatoka mpaka mkome magambassss
  2. J

    Kutoka Dodoma: Pinda, Werema na Muhongo wataka zigo la Escrow abebeshwe Kikwete!

    Ngoma inogile kwa pinda jamani! "Kama alivyo sema yeye wapigwe2, nasasa watanzania tuna pinda apigwe2
  3. J

    Mafisadi wa Richmond na IPTL sasa yalia na Mwigulu Nchemba

    Mmmmmmmmmmmmmmmhu.tusubiri wakati ukifika wa kumtoa nyoka pangoni tuone anacho zungumza mwigulu kitatimia?
  4. J

    Amon Mpanju: Wamenipiga huku wakijua mimi sioni macho

    Aache uhuni wake,kafundishwa cha kusema huyo.asituchanganyie kubeli huyo.
  5. J

    Profesa Jakaya Kikwete na wazee wake wa Dodoma wamepishana na gari la mshahara

    Nyeeeee! "Propossa?Tuendako sass hata majambazi yatapewa uporopossa(u-proffessa)kaaaaazi,kwelikweli
  6. J

    Yanayojiri bungeni Jumanne Tar. 4 Nov, 2014: Mkutano wa 16/17 kikao cha kwanza

    Samahani ndg zangu! "Hivi huyu kijana Muhuni(Makonda p)asiye heshimu wazazi wake, babu zake, niwa wapi? maana katuvunjia heshima vjina kwamba kumbe Tanzania tuna vijana wasio kuwa na adabu hivyo?makonda umeidhalilisha Tz,pamoja na viongozi wako wajuu ndani ya chama chako CCM.hivi kumbe ndani ya...
  7. J

    Dodoma: Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dodoma - Nov 4, 2014

    Mmmmmmmmmmmmmmmu!"Hamna lolote zaidi taarabu za kejeli
  8. J

    Makonda, Kubenea na Isango on Star Tv juu ya yaliyotokea Ubungo Plaza

    Kwakweli nashindwa hata neno LA kuandika ju ya kijana wetu Makonda,kwakile alicho Fanya Ubungo plza, tumuachie mungu ndo mwenye majibu sahihi kwa alicho kuwa kapanga,hukumu yake ni duniani hapahapa kwa mungu Nima sahihisho2."Hivi ninani alie MPA malaka makonda ya kumlinda mzee warioba? Aposema...
  9. J

    Paul Makonda aita press conference kujisafisha

    Mine nasema kama ingekua kuomba2 kwa mungu! Basi ningeweza kusema ile ajali iliyo tokea Kule Arumeru na kumuua yule DADA basi niafadhari inngeli mpata kijana mchochezi makondakt. Maana tutakuwa tumetua mzigo WA kuliangamiza taifa hili.Na alaaniwe makonda kwa mpiga mzee warioba kwa sababu2 kasema...
  10. J

    UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

    Nahiyo laana imkute makonda,mungu lingazie Taifa hili La Tanzania na utuondolee vijana WA huni waaina ya makonda na washurika wao.mungu lisaidie taifa hili
  11. J

    UKAWA wavurugana kugombea majimbo

    Hebu kaendelee kubembeleza watoto WA Lumumba wanakanyagana huko.unashangaa mini hapo?
  12. J

    UKAWA watagawana Majimbo na madaraka kama ifuatavyo

    Uchambuzi mzuri safi sana!
Back
Top Bottom