Kwa majina naitwa andrew mkazi wa songea, nina miaka 23 nasoma.
"Nina tatizo la maumivu katka pingiri moja juu kidogo ya kiuno ni zaidi ya miaka 5 sasa lakini sijabahatika kupona,
Nimetumia dawa mbalimbali lakini bado hayo maumivu hayajapona, nimeenda hosipitali mbalimbali km...
ni ukweli kwan mi hadi sasa nmeathirika sana na mpka najiraumu kusoma bweni sina hamu ya wanawake msaharifu mwoga yaan we acha2 iyo kitu c nzuri jamaan
Jaman wana JF msaada please!!
Nimekuwa nikijichua zaidi ya miaka 6 (sita), na sasa sina nguzu kabisa za kiume na zaidi kutokana na tabia yangu hiyo nimekuwa mwoga kila sekta nataman kuacha lakin mara nyingi huwa nashindwa, kwa ukwele sasa sina hamu ya mwanamke tena ndo nawaogapa kinomah,Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.