Recent content by josephina mapunda

  1. J

    Maumivu makali ya kiuno

    itakuw mifupa inakutana, coz catrige au mifupa laini imekauka nenda hospitali za tiba asili hzo nyingine hazitakusaidia chochote!!!
  2. J

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    jman hadi leo bado nasumbuliwa na hilo tatizo, nishatumia zaidi ya laki tatu but bado sijapona.
  3. J

    Dirty church marketing strategies (The case of Gwajima vs Catholics)

    kuokoka xaxa maana yake nn kma yesu akuleta din na wkti ww mlokole?
  4. J

    GPA huesabiwa mwaka wa ngapi wa chuo?

    miaka yote mitatu kila semister bt final year watatafuta average ya GPA zote mkuu!!
  5. J

    Kujichua/puli ( musterbetion)

    ulipewa dawa gan wewe?
  6. J

    Kujichua/puli ( musterbetion)

    xo nn nifanye sasa?
  7. J

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Kwa majina naitwa andrew mkazi wa songea, nina miaka 23 nasoma. "Nina tatizo la maumivu katka pingiri moja juu kidogo ya kiuno ni zaidi ya miaka 5 sasa lakini sijabahatika kupona, Nimetumia dawa mbalimbali lakini bado hayo maumivu hayajapona, nimeenda hosipitali mbalimbali km...
  8. J

    Kujichua/puli ( musterbetion)

    mwaka 2006, nakaa na mama, cfanyi kazi n mwanafunzi
  9. J

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    ni ukweli kwan mi hadi sasa nmeathirika sana na mpka najiraumu kusoma bweni sina hamu ya wanawake msaharifu mwoga yaan we acha2 iyo kitu c nzuri jamaan
  10. J

    Kujichua/puli ( musterbetion)

    Jaman wana JF msaada please!! Nimekuwa nikijichua zaidi ya miaka 6 (sita), na sasa sina nguzu kabisa za kiume na zaidi kutokana na tabia yangu hiyo nimekuwa mwoga kila sekta nataman kuacha lakin mara nyingi huwa nashindwa, kwa ukwele sasa sina hamu ya mwanamke tena ndo nawaogapa kinomah,Naomba...
Back
Top Bottom