Siasa bana mi nakumbuka dr slaa alimsumbua sana kikwete amchukulie hatua lowasa kwa kuiba pesa nyingi za serikali,sasa leo yuleyule waliesema mwizi ndo wamempokea ukawa.ukawa chama chenye nguvu ni chadema.au zile pesa wenzetu alizoiba lowasa wenzetu wa ukawa wamerudishiwa!!
Kwa vile ukawa wenu hawana matumbo au ni waaminifu sana.acheni zenu za kishamba maisha ya mtu hayajaribiwi kwa chama maskini ukawa ndo nn watu tumeona upawa
Hawa watu wanaongea uchafu tu hawana point na tuwaangalie sana ndio wapoteza amani wa nnchi hawa mnataka nnchi muiendeshe kwenye mtandao,mh john pombe magufuli ndiye mwenyewe 100%:thumbup::thumbup:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.