Recent content by Joseph S

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali 2020-2025

    Habariiii Ndugu wananchi ninaomba kushauri mambo yafuatayo kwa serikali kuanzia 2020-2025. 1.Iajiri maafsa wa kukusanya mapato wengi mpaka ngazi ya kata,kijiji na mtaa.Kazi yao kubwa itakuwa kukusanya mapato kwa ufanisi kulingana na sheria na kanuni zinavyosema.H...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    point mkuu...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    hapo ndo pagumu
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    Nao ujue walibebwa kabla ya kuwa hapo juu...kuna watu walitoa fedha zao kuwaweka hapo walipo...ebu tuwasaidie watu hawa.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    Sio kweli mkuu...hii ni katika kusaidia vijana wetu....vijana wengi hawana mitaji..
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    issue hapa ni kwamba hela iongezwe..mwaka wa mwisho wapewe na hela ya kwenda kuanzishia miradi huku wakisimamiwa vilivyo....pesa hiyo itoke kwa awamu..na kulingana na userious wa anayetekeleza mradi huo
  7. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    hakika mkuu
  8. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    leta maoni tuliboreshe mkuu...pengine serikali yaweza ona ikalifanyia kazi
  9. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    hakika mkuu
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    Habari, Naishauri serikali kupitia bodi ya mikopo HESLB ianze kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu. mkopo uwe wa fedha taslimu milioni tano 5,000000/=. Mkopo huo utolewe katika vigezo na mazingira yafuatayo: Kabla ya kuhitimu kila mhitimu atatakiwa kubuni wazo la mradi ambao...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Tanzanianism, the deadly weapon against Corona and all its effects

    Rekebisha makosa uliyoyaona hapa ...nione
  12. J

    JamiiForums Tanzania Tanzanianism, the deadly weapon against Corona and all its effects

    Sasaivi tunasimama kama Tanzania, ndo maana tuna unique approach.....
  13. J

    JamiiForums Tanzania Tanzanianism, the deadly weapon against Corona and all its effects

    TANZANIANISM -Means the spirit,feelings,emotions,love and bravety of defending,fighting for and advertising our country in a good way against any foreign threat.It is a state of unity, togetherness and oneness among all Tanzanians, regardless of the differences in ideologies, approaches and...
Back
Top Bottom