Mh. Rais,, nakusalim kwa Jina la yesu alie hai. Jina langu naitwa Joseph Nyanda, km raia wa kawaida na mtanzania km watanzania wengine,, naomba kwa namna ya pekee sana kukupongeza na pia kukutia moyo juu ya hatua unazozichukua hasa kurudisha nidham serikalini ambayo kwa hakika ilikuwa imetoweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.