Kila mtu anatoa mawazo yake. Na kila mtu ana haki ya kusikilizwa. Endelea kusoma maoni unaweza kuliona ambayo kwako ni ya msingi. Lakini pia jitahidi kuepuka "Dogmatism" karibu.
Wadada poa Wanacheck population. Hawana haja ya kuzaa kama mke home au demu wa mtaani. mwanamume atakwenda pale kukatia kiu. Hetegemei kusikia "Nina mimba yako!"
Pili idadi ya Wanawake ni karibu mara dufu ya idadi ya Wanaume. Kama kila mwanamume ataishi na mke wake tu, wadadapoa ni binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.