Google walipaswa kupata maoni kwanza Kwa watumiaji wa hizo simu kabla hawajafanya maboresho yao.
Mimi binafsi sijaupenda huu mfumo mpya,lakini Kwa kuwa wamebadilisha wao,there is no way.
Hongera sana kwako Makamu M/kiti CHADEMA Taifa,ndg John Heche.
Mtazamo na maono Yako Kwa Nchi yetu ni mzuri sana na hasa kama Viongozi waliopo madarakani wangekuwa na fikra kama zako,hii Nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo.
Tuendelee kumuomba Mungu huku tukipambana huenda siku Moja Mungu...
Wewe sio sehemu ya hao Watanzania unaowahurumia ?.Nafikiri hujatafakari vizuri kabla hujawasilisha andiko lako,other ways wewe ni Mmoja wa waofurahia kuona wengine wanapata matatizo as if wewe ni mtakatifu ktk Dunia hii.
Lissu ni mwanasheria anayeijua vizuri Sheria kuliko ufahamu wako wewe.
Anajua na anasababu ya kwanini alisema hicho unachokidai wewe kuwa ni kosa.
Next time tafakari kwanza kabla hujaja na andiko lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.