kweli nawakumbuka wahadhiri wangu wakati huo prof shivji, prof. Campbell, prof. Bavu,,prof .Wamba dia Wamba, Prf. Ngware ,Dr.Harrison Mwakyembe ambao walikuwa wakichambua issues mpaka state inatikisika
Your guestion cannot be accurately answered by any intellectual person in the world! There are millions of Tanzanians who would be like Nyerere but they are not known because they are just ordinary men who cannot be compared with Nyerere who was a leader of tanzania for a number of years. You...
samahani nieleweshe vizuri kufanana katika nini kiakili, kisiasa kivitendo, kifalsafa, kizalendo au nini?
KWELI KABISA ! HUYO NDIYE UNACHATI NAYE YUKO HADI LEO
kama umeshindwa kuona jinsi DNA ilitumika kutambua majeruhi wa ajali ya Morogoro kwa kutumia watoto au wazazi. uwelewa wako ni mdogo sana huwezi kunielewa.Tufunge mjadala .
kama ni hao unaowaheshimu? ugomvi wangu unatoka wapi? nlishaandika juu ya wote hao juu ya mchango wao kwa jamii zao isipokuwa wa mwisho ambaye sijawahi kumsikia
SAWA! mimi kama mtumishi wa Mungu ninaelewa kwamba Mungu pekee ndiye anayetakasa na ambaye anaweza kutamka mtu ni mtakatifu. mwanadamu hawezi kumtamka mwingine mtakatifu kwa sababu utakatifu ni swala la kiroho na mungu pekee ndiye anajua mambo ya rohoni mwa mtu. sisi binadamu tunachoweza kuelewa...
tatizo ni kutoelewa unachosoma. Kama chapisho hilo linamkosoa Nyerere huna maana afadhali utangulie kulazwa mirembe. ndilo tatizo la elimu ya siku hizi haitoi wasomi wenye upembuzi yakinifu. wakati mwingine ni kujiabisha ukirukia mada ambayo wengine wameilewa ila wewe tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.