Tuliza mpira siku ukifa utajua kwamba kila kitu ni uongo mtupu japo ni ukweli uliobadilishwa..... Mungu aandae moto wa kuchoma kiumbe alichokiumba..!??
Sasa alichokosea jamaa kipi..!? Kuhoji kwann hapelekwi nje ya nchi au..!!? Achaga kukurupuka elewa kwanza hakuna anayekataa kuwa ametibiwa ndani..!! Mbona kinana alipelekwa nje ya nchi na magu..!! Sasa hivi bora ukae kimya wananchi wana hasira kali sana.
Ndiyo maana nikakwambia hivii Kabla ya kumuita Dangote chizi lazima ujue unaongozwa na mashizi zaidi yake.... huwezi kumwambia utampa mwekezaji kitu bure halafu unamgeuka....... kabla sijamwita mwekezaji aliyepewa eneo la wananchi 5000 chizi nitamwita aliyempa hilo eneo chizi maana ndio tatizo...
DANGOTE sio chizi kuja kutaka gesi bure Tanzania au alale tu aamke aseme kwamba atanunua Coal South Africa....... Sasa ni kazi yako kujua ni nani alimwahidi haya mambo at the first place alipotaka kuwekeza na kwanini wamgeuke leo..... kabla hujamchukia dangote inabidi uwachukie waliofanya nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.