Kama inavojieleza hapo juu je kozi ya kilimo veta inafaa usomee short kozi au long kozi mbali na hapo Tena vipi ukiilinganisha na electrical installation ipi Bora Zaid yenye ipo sokoni
Habari zenu wana if najua mko poa mnaendelea na kazi zenu salama,
Jamani kama maada inavojieleza hapo juu mm naumwa kichwa kwa muda mrefu ila na vumilia tuu kinauma kwa kuwasha ndani afu kama kimebana kuanzia shingoni hadi ndani ya kichwa na mara nyingi nina mawazo ya hatia so nakuwa mtu wa...
Habarini wapendwa wa jf natumai mko poa kama mada isemavyo hapo juu mimi nahitaji kueleweshwa ni wapi napatA hiyo mashine ya mkononi ya kufyeka mpunga au yule atakae kuwa nayo anahitaji kuiuza nahitaji pia karibuni nyote kwa maoni hapo chini namba zangu ni 0625616179
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.