Unajua watu tunashngaza kitu kimoja kwanin usijitokeze ukasema nin unachojua ili hata mwenzio apate taswira ya nn kinaendea kuliko kukaa na kuanza jadir mtu na kuona anachokisema si kitu hayo majibu ulionayo wew yako wapi km wew unaona javikusaidii jenga hoja pia msaidie mwingine
Hahahah hahahaha hahahah haya bhana nazani kwa aliejaribu kunisikiliza kwa makini atakua amepata kitu hapo na kusogea japo hatua moja mbele ila kama utaendelea kujiaminisha hicho unachoamini wew pia ni sawa sikatai siko hap kubishan ila nikujaribu kuonesha taswira ya nini kinaendelea hat kwa...
Sikatai hoja yako unachokisema wewe ni sawa pia ni sahihi upande mwingine kabisa lakini majibu ndo hayo yanayotolewa na mimi ni muhanga wa tatizo hilo na niko mwaka wa pili. Shida hapa tujaribu fikiri hebu imagin mmoja kati ya uliombo mkopo akawa hayuko chuoni au akawa tu amekosa sifa za...
Majibu ambayo yanatolewa na Heslb ni kwamba wao wanapokea majina kutoka TCU kwa wanafunzi walochaguliwa vyuo na kuwafanyia allocation ya mkopo. Kwa contineous student ndio tumeomba mkopo lakin hatuna admission kweny system na wao hawawez tambua kua wew ni contineous unaonekana ndio uliomba mkopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.