Recent content by jorni

  1. J

    Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    Ndugu zangu, majadiliano ya mgogoro huu, yajadiliwe na viongozi waadilifu,na mimi sijawaona hapa Tz.Viongozi Wengi waliovamia kulisemea jambo hili wanayao kisiasa, wanataka kuipeleka nchi kwenye vita ili kukuza kiu yao kisiasa.Tuwaangalie watu hawa kwa uzuri. Hayupo kiongozi wa juu nchini anaye...
  2. J

    Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

    Jamani, Nashukuru kwa fursa kama hizi, Ni mgeni kwa eneo hili,nawasalimu walioanza miaka na wengine pia. Nasumbuka sana na mifumo inayowaendesha watanzania. Wanaishi kwa kupindua mambo miguu juu. Maisha haya yanasababishwa na tamaa za fedha. Binafsi naumizwa sana na wanaomwona Dr.Ulimboka kuwa...
Back
Top Bottom