Wadau naomba kuuliza kuhusu nafasi ambazo sumatra walizitoa mwez wa 5 kama walishaita kwa usaili coz nimeona wametoa nafasi nyingine, so pengine labda walishamaliza ile biashara ya mwanzo na wanataka anza biashara nyingine mpya.
Sina taarifa zozote wakuu, mwenye kujua tafadhari.
Naomba nikumbushwe watu wenye degree wanalipwaje katika Bank especially, NMB, NBC, Bank ya Posta, etc. Najua huu uzi ulishawahi kuwekwa humu ila naomba mnikumbushe tu waungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.