Recent content by JOPA

  1. J

    Ambaye hujaoa zingatia haya kabla ya kuoa

    Kiukweli better alone!ndoa matatizoo!
  2. J

    Naomba Ushauri

    Naombeni ushauri jaman!mimi na mchumba wangu(hatujafunga ndoa) tumefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume!lakini tangu hapo kumekuwa na malumbano makubwa sana kiasi kwamba hadi sasa hivi mawasiliano ni hafifu.na mara nyingi nikiwa nahitaji pesa ya matumizi,inachukua mda kunipatia na nikisema...
  3. J

    naombeni ushauri

    mimi na mume wangu tunagombana sana sababu ya pesa na tuna mtoto kiasi kwamba tunataka kuachana naombeni ushauri jamani
  4. J

    Naomba ushauri

    yeye ana degree ila hajapata kazi bado na ana kipato kutokana na kazi anazofanya ila mimi bado nasoma.na kiumri kanizidi miaka kumi
  5. J

    Naomba ushauri

    naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
  6. J

    Penzi la raha na mwalimu wangu wa hesabu-Sehemu ya tatu

    Duh,this is too much pilipili!ndugu unatisha
  7. J

    Msaada please...Ninampenda dada yangu(Mtoto wa mama yangu mdogo)

    mmmh!we hufai kuigwa unahitaji maombi.
Back
Top Bottom