Naombeni ushauri jaman!mimi na mchumba wangu(hatujafunga ndoa) tumefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume!lakini tangu hapo kumekuwa na malumbano makubwa sana kiasi kwamba hadi sasa hivi mawasiliano ni hafifu.na mara nyingi nikiwa nahitaji pesa ya matumizi,inachukua mda kunipatia na nikisema...
naomba ushauri jamani,nina mchumba wangu ananishangaza sana sasa hivi,nikimtumia sms hajibu,halafu hapigi hadi nimpigie na nikimuuliza maswali anakuwa mkali.nifanyeje wapendwa,maana mi najisikia vibaya sana anavyofanya na bado nampenda sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.