Recent content by Joorome

  1. J

    Ni chuo gani kinafundisha masuala ya lift za majengo marefu?

    mkuu n mechanical pekee sio electrical na pia atakua na faida nying maana mechanical engineering inaiingia kila sehemu please note: mechanical engineer can work any sector where a machine is available
  2. J

    Ni chuo gani kinafundisha masuala ya lift za majengo marefu?

    shuleni huwezi kusoma ukawa competent na kazi za field kinachotakiwa ni general idea then ukipata kazi katika kampuni inayodeal na lift ndio unakomaa kiujuzi zaid katika hilo eneo. na mara nyingi watu wa mechanical engineering ndio wanaofanya hizo kazi za lift
  3. J

    Ni chuo gani kinafundisha masuala ya lift za majengo marefu?

    mkuu hiyo ni kitu kidogo sana asome diploma/degree ya mechanical engineering ndani yake atasoma hayo mambo na kuyafanyia kazi
  4. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    shule gani hiyo mkuu? maana AAA kwa PCM,PCB na PGM overal (Tanzania nzima ukiweka na private school ) sidhahani kama zinavuka 20 kila matokeo yanapotoka
  5. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    mkuu umenena vyema na katika maelezo yako nimeextract sababu zifuatazo 1. Kukosekana ushindani baina ya wanafunzi 2. Matumizi mabaya ya smartphone kwa wanafunzi 3. Ugumu wa maisha kwa wazazi wa wanafunzi 4. Uhaba/ukosefu wa waalimu wa science 5. Uchakavu wa miundombinu kama...
  6. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    ni kweli ila muda unaenda sasa asijekua anawaste time maana ukisoma diploma unagain ujuzi na unaweza ingia kazini lakin a -level bado itakubidi uende tena chuo kikuu
  7. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    mkuu huu unafuu unasema upo angalau kwa sasa kwa maoni yangu nafikiri umetokana na sababu zifuatazo; 1. Kuongezeka kwa vyuo vikuu ambavyo vimepelekea kuzalisha waallimu wa sayansi Mfano. Mkwawa,duce,udom,mwenge na vingine. Mwanzoni ilikua udsm pekee inazalisha na wengi wanakimbilia private...
  8. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    duu pole sasa ungeshare nasi unafikiri ni kitu gani kilisababisha ukashindwa kutusua a -level ili madogo wajifunze na wahusika warekebishe hizo hali
  9. J

    Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

    Heshma kwenu wakuu Kwa kipindi kirefu nimefuataiia sana matokeo ya wanafunzi wetu wa A-level hasa wa combination za PCM, PCB na PGM katika shule zetu za serikali na nimegundu yafuatayo 1. Kuna ufaulu hafifu sana kwenye masomo hayo kwa shule zetu za serikali Unakuta O-level mtu alipata...
  10. J

    Nataka kusajiliwa bodi ya uhandisi ila sijasoma uhandisi

    jamaa kaleta uzi tuujadili jamani kama unafaa au haufai huku tukilingnisha na nchi nyingine ishu ni kujenga hoja mkuu
  11. J

    Msaada: Hand delivery is not accepted

    upo sawa yaani usipeleke mwenyewe ofisini kwao itume kwa njia ya posta au kama katika tangazo walisema utumie email
Back
Top Bottom