Aliye karibu na waziri Aweso amwambie aende Dawasco Tabata aondoke na meneja na injinia wake. Hao watakuwa wanamhujumu labda kama na yeye waziri anajua nini kinaendela huko Tabata. Lakini hata kama anajua je watu wanaoishi Tabata wamewahi kupewa taarifa rasmi katika kipindi chote cha miezi...
Hao wakina Kimario wana shida gani? Kuna Kimario mwingine huko huko Arusha naye alikutwa na kinyesi na mkojo ndani miezi kama sita iliyopita basi tu watu huwa hamfuatilii mambo.
Hao wakina Kimario wote Warombo, wote wanaishi Arusha, wote vijana, wote hawana wake, wote wanywa pombe na mwisho...
Aliye karibu na Kamwaga anisaidie kumuuuliza :-
1. Je wakati juzi anamjibu Pole Pole hakuona umuhimu wa kufanya utafiti kwanza kabla kurukia kujibu hiyo hoja?
2. Je kwa vyovyote vile akikuta hiyo bei ni sawa au si sawa haoni kama amethibitisha pasi na shaka kuwa yeye ni mkurupukaji kwa sababu...
Toka ameondoka Barbara kwenye uongozi Simba timu imekuwa na ombwe kubwa la uongozi. Msimu uliopita Yanga amedhamini vilabu zaidi ya vitano badala ya viongozi wa Simba kutafuta "facts" ili waweze kupinga wao wakabaki wanalalamika kama mashabiki wao wakati wao walitakiwa kuchukuwa hatua na si...
Aliye karibu na uongozi wa Simba awaambie mechi zao za saa 10 jioni hazifai wengine wanafanya kazi kwa akina kanjibai watafukuzwa kazi bure kwa kutoroka muda wa kazi kwenda kutazama mechi. Mechi za saa kumi jioni zifanyike mikoani huko kwenye viwanja ambavyo havina taa.
Viongozi wa Yanga wapo...
Huyu ni Buritanicca. Britanicca mwenyewe og ALIKUWA akisema kinatokea kama mwanamazingaombwe vile enzi hizo za akina Eyeso Magic Show, Nomba Imajamasalah, Pof Singira, Babu wa Kihindi na wakongwe wengine. Sasa huyu Buritanicsa simuelewi kila akisema hakitokei badala yake kila akija anakuja na...
Ni nani alimuondoa Zambo halafu akalazimisha nileteeni Mligo. Nani pale Simba anamjua zaidi Neo Maema kuliko Fadlu?
Huyo Fadlu atakuwa kashiriki huu usajili kwa asilimia kubwa sana vinginevyo angekataa Neo Meama asiletwe badala yake angelazimisha aletwe namba 10 mwingine.
Au inawezekana Fadlu...
Kama kweli Fadlu anatafuta namba 10 mwingine basi wanachama na mashabiki wa Simba waanze kuandika maumivu mapema kabisa. Na Fadlu atakuwa anatafuta kichaka cha kujificha ikitokea mambo yameenda tofauti. Ana Ahoua na Mutale halafu kawasajili Neo Maema, Morice Abraham na Bajaber sasa anataka nini...
Pole sana mleta uzi na hongera sana kwa kuruka kiunzi japo ilikuwa kidogo unase kwenye mtego. Ungejichanganya kidogo alafu wazungu watoke ndio ungejua hujui maana ungelipa madeni yote ya vikoba na mikopo yote ya kausha damu na chupi mkononi. Wakina dada wa aina hiyo wapo wengi sana kwenye dala...
Eti huwezi kugawa nguo na vitu vingine usivyotumia kwa wahitaji unaogopa kulogwa? Nikisikia mtu anasema habari ya kulogwa huwa namshangaa kabisa. Uchawi upo na wachawi wapo lakini ukiudharau uchawi na wachawi na usiposhiriki uchawi kwa namna yoyote nakuhakikishia hautadhurika na uchawi kabisa...
Arusha inatisha sana sasa hivi. Kama ni mgeni Arusha au hata kama uliwahi kufika Arusha miaka ya nyuma basi nakushauri tu ukienda sasa hivi usiende kwa mazoea bali tafuta mwenyeji akuelekeze vizuri sehemu gani za kutembea na sehemu gani usitembelee kabisa. Kuna matukio ya uhalifu ya hovyo sana...
Nahisi ule ulikuwa mradi wa mtu maana bongo janja janja nyingi sana. Mbaya zaidi mmoja kashatimka kapata timu Uarabuni huko. Madeleka alipambana kupinga hii kitu lakini sisi wabongo tukamwangusha tukamwacha apambane mwenyewe bila sapoti.
Mkuu acha tu. Yule mwingine (RIP) alikamatwa mara tatu tofauti hapo hapo Muhimbili mpaka unashindwa kuelewa. Ilikuwaje anakamatwa anaachiwa anarudi tena pale Muhimbili takribani mara tatu. Au ndio hawa huwa wanatumiwa kututoa kwenye reli kunapokuwa na masuala tata ya kitaifa.
Kila siku nasema hapa wakulaumiwa kwanza ni mameneja wa wachezaji wetu wandani na wachezaji wenyewe. Tunajua wachezaji wetu sio rahisi kujua mambo ya sheria na mikataba inakuwaje lakini utakuta wanafanya kosa la kiufundi kuweka mameneja wababaishaji. Ikifika wakati wa kusaini mikataba wao...
Huko Ubungo si tuliambiwa kuwa wamefunga kamera kwenye mataa na "wrong parking" sasa kampuni binafsi ya nini tena? Halafu wao si waandike faini mkosaji alipe kwa "control" namba pesa iingie serekalini kwa nini walazimishe "cash" kama sio ulaji wa watu binafsi?
Na si hivyo tu kuna kero nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.