Ni mzaha kweli kweli. Wakati Yanga wanapambana kumsajili na kumtambulisha Aziz Ki kabla dirisha halijafungwa wenzao kwenye bodi ya Simba bado wanabishana na wamegawanyika Paul Peter asajiliwe au asisajiliwe pale Simba
Shida kubwa kwa MO ni kumwamini mwamba wakati anampeleka chaka. Na wanasimba wengi sasa hivi wanakereka kuona Yanga inazidi kupaa wakati wao timu yao inazidi kushuka. Na kuna uwezekano mkubwa Yanga kwa kikosi alichonacho sasa hivi akaenda kufyeka kile kichaka kule CAF na hapo kama MO hajashtuka...
Baada ya mkosi mkasa. Kila siku nasema pale Simba mwenye nguvu ya kusajili sidhani kama amewahia kupiga hata dana dana mbili bila mpira kuanguka chini. Amekariri kuwa mshambuliaji namba tisa lazima liwe jitu fulani la miraba minne hivi mfano Fredy, Mwangosi, Doumbia wakati hiyo mijitu yenye...
Kwa dalili zilizopo tunapoelekea hata bila Jayrutty kuhusika Mo asipokuwa makini anakwenda kuondoka kwa aibu kubwa sana na atapoteza mtaji wake wote aliowekeza pale Simba kwa miaka mingi. Zamani wanasimba wote walikuwa hawaoni wala hawasikii likifika suala la Mo. Ukimgusa kidogo tu Mo utashukiwa...
Heri nusu shari. Acha auzwe angalau Simba wapate nafasi ya kusajili mshambuliaji wa kati wa kimataifa. Huko pembeni wanaweza kuunga unga hata yule Msimu akasogeza sogeza muda mpaka dirisha dogo. Huyo Doumbia viongozi wanaona aibu kumuondoa heri wafe na tai shingoni kuliko kupata aibu.
Hapo kwa Maema ndio paliniacha hoi maana dili lake lina ukakasi mkubwa sana. Neo Maema alikuwa amemaliza mkataba wake na Mamelodi halafu akarudi kwanza Mamemlodi akasaini mkataba mpya halafu ndio Simba ikamchukua kwa mkopo. Ninavyojua wachezaji wote duniani wakimaliza mkataba wanakimbilia...
Wakati kocha Barker anaanza kazi kwenye mapinduzi cup akagundua Simba haina wachezaji wa kuivusha. Wakati huo viongozi walikuwa wanaamini kuwa wakina Mutale, Ahoua na Mutale ni wachezaji hatari na mbaya zaidi Yanga wakawa wanawaingiza king wanawatishia viongozi wa Simba wakiwaacha tu wao Yanga...
Huyo Manzoki Magori alitumwa mara mbili Uganda akawa anarudi na stori tu anasbiri mwamba amalize mkataba amchukue bure. Kumbe jamaa walikuwa mbele ya muda wakamuuza China kabla mkataba haujaisha ikabaki stori tu.
Si aibu tu. Niliandika hapa jamvini siku chache zilizopita kuwa pale Simba kuna watu wana roho ngumu sana pale Simba. Lakini sidhani watu walinielewa. Mtu mzima na akili zako huwezi kumleta Doumbia. Haya tunaenda mbali watu hao hao walimleta Mwangosi msimu uliopita wakati Valentino Mashaka yupo...
Kumleta Kasali wala haikuwa shida sana maana ilikuwa ni dharura wakati Camara alikuwa ameumia. Dhambi ambayo hatasemehewa Magori na wanasimba ni kitendo chake cha kumuongezea mkataba Kasali wakati mapungufu yake yalionekana kabla hata ligi haijaisha.
Jana Kasali pamoja na lile goli la hovyo...
Kwa Doumbia Simba wasione aibu wamuuze hata kwa hasara au wamtoe kwa mkopo hamna mchezaji pale. Huyo anayefanya sajili pale Simba sidhani kama yupo sawa kichwani. Simba ilikosa ubingwa msimu uliopita kwa sababu ya mshambuliaji wa kati na kipa asiye na viwango kwa akili zake mbovu akaamua...
Siamini kama Magori ni pandikizi la Yanga. Lakini naamini Magori anapenda sana mpira na anaipenda sana Simba lakini mpira haujui na hata wachezaji wazuri wenye viwango hajui kabisa. Na hata sajili zake anaangalia zaidi takwimu za mchezaji na clip kuliko kumuona mchezaji halisi. Mfano mmoja tu...
Pamoja na hilo hiyo teknolojia imeshapitwa na wakati. Wanashindwa hata na Mlimani City ukishalipia sio tena dereva ufike pale uanze ku scan ndio geti lifunguke. Wanatakiwa waweke mashine ukishalipia isome yenyewe plate number then geti lifunguke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.