Hii naweza kuamini maana sio kwa kulazimisha kule acheze kila mechi ili kiwango kipande. Na Mungu si Juma Nature huyo Doumbya mechi 10+ jamaa bado kituko. Mwenzanke Mgunda assist moja na pre assist 1 kwenye mechi moja . Kwa mtindo huu hata ile ya Loemba kuwa kaletwa na Jayrutty kwa hiyo...
Hana stahili ya kushangilia kwa sababu yeye kufunga ni nadra sana. Sana sana huwa anawasaidia wakina Libase kushangilia wakipata magoli. Hata jana kasaidia kushangilia au haukumuona wakati analenga shabaha na wenzake.?
Kwa hiyo aliyemsajili pale Simba alileta mchezaji wa kimataifa wa kupewa muda. Doumbia naye aache masihara. Huyo Doumbia siku nikimuona anacheza halafu Mgunda yupo benchi basi nitajua kweli 10% zipo kwenye usajili kama watu wanavyosema.
Huu ndio ulikuwa mtizamo wangu baada ya mechi ya awali kule Malawi. Leo nimeiona Simba ya tofauti kabisa ambayo imeondoa hayo mapungufu almost karibu yote.
Kilichobaki sasa Simba mnipe ajira kwenye benchi lenu la ufundi.
Doumbya hana tatizo lolote. Wenye matatizo ni benchi la ufundi la Simba. Nadhani benchi la ufundi lote la Simba haliko timamu. Haiwezekani timu kubwa kama Simba ije kukuza kipaji ambacho hakipo kabisa tena cha mchezaji wa kimataifa. Doumbya mpaka sasa amecheza mechi 10+ za mashindano na za...
Tokea Wawa kaondoka Simba haijawahi kupata beki mwenye uwezo wa kupiga pasi mita 20+ kwa usahihi kwa winga au mshambuliaji. Toure alipokuja mwanzoni alikuwa anajitahidi sana kufanya hiyo kazi japo hakuwa sahihi sana kama Wawa. Ila sasa hivi na yeye kaingia kwenye mfumo wa kucheza rede. Sijui...
Mkuu Simba inabadilisha wachezaji na makocha lakini mfumo wao wa uchezaji haubadiliki. Mwaka wa nne sasa back pass na square pass za kutosha timu haisogei mbele kwa haraka. Wamegoma kabisa kubadilika. Timu inacheza kama keep left. Mpira unazunguuka kwa kipa, mabeki wa kati, mabeki wa pembeni na...
Hongera Simba kwa kupata ushindi lakini wachezaji na benchi la ufundi walikuwa na makosa mengi sana kiasi iwapo leo wangekutana na timu nzuri ingewagharimu sana. Kwa mechi ya leo ingekuwa ile Simba ya akina Bocco, Kagere, Chama na wengineo sasa hivi wangekuwa wameshajihahkikishia kusonga mbele...
Huko ulikoenda ndio balaa. Umeruka kojo ukaenda kukanyaga ma.. Hao yeeeees nimetoka kugombana nao juzi. Bando likiisha wanalamba akiba yako bila taarifa ukijashtuka una akiba sifuri. Halafu hawana huduma ya kutojirudia kila nikiwapigia customer care kila mmoja ana jibu na maelezo yake tofauti na...
Aliyemleta Doumbia pale Simba ni motoni moja kwa moja. Kufunga atafunga tu kwa sababu anacheza mbele ya goli ipo siku mpira utakutana naye bahati mbaya lakini kwake itakuwa bahati nzuri atatupia. Baada ya hapo sasa mbumbu watavamia redio zote, magazeti, online TV na TV kutakuwa hakukaliki. Uzuri...
Manula ajilaumu mwenyewe. Kile kitendo cha kukaa nje kwa majeruhi ya muda mrefu halafu unarudi haujacheza hata mechi moja ya kirafiki unaenda unapangwa ucheze mechi yenye lawama dhidi ya watani ilikuwa ni sawa na mtu aliyeamua kujiua mwenyewe kwa kujinyonga au kunywa sumu. ile mechi ndiyo...
Tusipowatetea sisi awatetee nani wakati hata viongozi wa hizi timu kubwa nao wanaona vijana wanakandamizwa na hawawasaidii. Badala yake wamegeuza ndio miradi yao. Kila mwaka wanawasajili na msimu unaofuata wanawaacha. Mfano mzuri ni Chasamabi na Chikola wana vipaji vikubwa na wamedhihirisha hilo...
Tatizo ni kuwa sasa hivi hakuna waandishi wa habari za uchunguzi. Safari ya Dar Mbeya Dar pamoja na kula na kulala siku tatu haifiki hata TZS 500,000 lakini wapiga kelele wapo studion wanampigia simu Duchu.
Hivi hata kama ni kweli huyo Duchu atakubali? Na kama ni uongo huyo Duchu atalipwaje...
Ila wabongo nimewavulia kofia. Watu badala ya kuzungumzia adhabu ya viboko wao wanamshukia mleta uzi. Hawa hawa wakisikia huyo mwalimu kauwa mtoto na fimbo kwa kosa la kuchelewa shuleni utawaona watakavyogeuka hapa. Utawasikia huyo mwalimu anyongwe yaani mtoto kuchelewa kufika shuleni tu kampiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.