Nyakati zile enzi Ujerumani imegawanyika, kulikuwa na ukuta mkubwa wa Berlin unaozitenganisha Ujeremami Mashariki na Ujerumani Magharibi.
Siku moja baadhi ya watu wa Ujerumani Mashariki walijaza gari taka lenye kila aina ya uchafu na kuutupia upande wa pili wa ukuta.
Watu wa Ujerumani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.