Msichana wa kazi za ndani anahitajika,awe mwenye maadili anayejuwa nini anafanya,awe mchapakazi,msafi mwenye bidii na kazi,hakuna watoto wadogo ila nimajukumu ya kawaida tu,kwa mawasiliano 0783673996
Wa tanzania hatuangalii pointi ya msingi tunacho Anglia kachapia wapi yani kukosea kuandika ndowa badala ya ndoa,watu ishakuwa mada,ok baridi nyinyi ndio wasomi Mimi sijasoma,ila usilopoke bila kushirikisha ubongo wako.
Ok majibu nikama ifuatavyo mke bado sijampata na kwaushirikianu huu mzuri nikimpata tuu nitawajurisha,na muelewe kutafuta sana si kupata,nikweli kwamba nimeishaandika matangazo lakini bado sijampata.
Nashukuru kwa ushauri wenu mzuri wadau@kin'gasti,kizzy wizzy,kahtaan,flora msoffe na hata wewe uliyesema Mimi domo zege + mkono zege asante pia kwa mchango na ushauri mzuri kwangu.
Aslaam alyeiku,kwanza naanza kwa kumshukuru Allah kwa uzima aliotupati,Kisha kuwashukuru wote mtakao changia mada hii,kikubwa ni kujenga na si kubomowa.
Nimejitokeza Mbele ya kurasa hii nia ni kutafuta mchumba ambaye soon kama tutapatana ndiye atakayekuwa mke wangu.
Anayetafutwa:
Umri 18-30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.