Hapaswi kuwa "part of them" namanisha yeye kama yeye Kabla hajaoelewa na mlema alikuwa anapata wapi riziki ,je? Wamekaa mda gani na mlema kweny ndoa ,haya Mambo hayahitaji hesabu kubwa .tulia mtangulize mungu
Pumbavu ni wewe usie kuwa na uhakika na unachokifanyanya ,Unajifanya Una AKIRI kumbe ni zero +0,think propery kuna watu unawajadili alafu siyo leval zako,wenzako wanakata kufanya final decision wewe hata namba ya mtendaji huna,umekalilishwa ujimga WA chuo ulichohitimu
Wataalam na wabobezi WA mambo naombeni ufafanuzi
---
Mwanaume mmoja nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 42 anapambania kuokoa maisha yake baada ya kuzikata sehemu zake za siri na kisu ndotoni, baada ya kuota anachinja mbuzi kwa ajili ya kumsaidia mke wake kuandaa chakula cha jioni.
Tukio hilo...
Nimeota nipo kwenye mfano wa jengo linalofanana na shimo,Katika ndoto inaonesha watu hawaishi lakini watu wanapita wengi kama kivuko cha kuelekea upande mwingine,sasa mm nimejikuta nimo humo na watu kama 6 .wote wamevuka Ila Mimi nimeshindwa kabisa kuvuka Kila nikikanyaga natereza hatimae nikawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.