Kila siku mmekuwa mnajaribu kujimikisha rasilimali za Tanzania kwa kuzitangaza kimataifa kuwa ni za kwenu kitu ambacho si cha kweli. Rasilimali zote hizo ni za tz mfano mlima kilimanjaro n.k
Mungu ibariki Tanzania na Afrika mzima[emoji120]
Watz wote muwe na maadhimisho mema ila swali langu ni je, maadhimisho ya miaka 57 ya Uhuru wa Tanganyika Watanzania tumenufaika nini na serikali yetu?
Tarehe 13/11/2018 Mfanyabiashara maarufu nchini Bw. ROSTAM AZIZ alifika Ikulu Jijini Dar es Saam kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. JOHN POMBE MAGUFULI kwa kazi nzuri anayofanya ya kuwatetea na kuwaletea maendelea wananchi hasa wanyonge na kujenga Tanzania mpya yenye...
Tarehe 13/11/2018 Mfanyabiashara maarufu nchini Bw. ROSTAM AZIZ alifika Ikulu Jijini Dar es Saam kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. JOHN POMBE MAGUFULI kwa kazi nzuri anayofanya ya kuwatetea na kuwaletea maendelea wananchi hasa wanyonge na kujenga Tanzania mpya yenye...
News:
CDM ni chama pekee kinachowaharibu wanawake. Vitendo hivyo vinafanywa na viongozi wakubwa wa chama hicho. Aidha, ijumaa ya tarehe 2/6/2017 imepatikana audio mubashara ikimuonesha Mwenyekiti wa CDM FREEMAN MBOWE anavomuomba msamaha mwanachama wake kipenzi wake wa sasa WEMA SEPETU ili aende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.