Recent content by jojo joe

  1. J

    Trafiki wa makutano ya Mwenge ni kero na hatari kwa uchumi

    Ni nchi yetu tu hatujui maana ya traffic lights, tulizichukua tu huko ughaibuni na kuja kuzipachika tuonekane tunazo. Serikali wanasema traffic wanasimamia Sheria barabarani lkn tuna mbinu nyingi za kusimamia Sheria ikiwemo kufunga kamera zitakazo dhibiti mienendo ya madereva na si wao kukaa...
  2. J

    Msaada kwenye biashara ya nyanya

    Asante kwa ushauri
  3. J

    Msaada kwenye biashara ya nyanya

    Mimi napatikana Dar es salaam
  4. J

    Msaada kwenye biashara ya nyanya

    Habari wana Jf, Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar. Nilikuwa naomba. 1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe. 2. Connection za wakulima wa zao hili. 3. Connection za masoko...
Back
Top Bottom