kiwacha cha heka moja, kipo kibaha kwa mathias upande wa kulia kama unatoka morogoro, barabara inafika kwa sababu ndo njia ambayo magari ya mchanga yanapita, bei ni shilingi million 4.5, siitaji dalali, kama upo tayari nipigie 0652-110878
hakipo eneo la chuo, chuo kipo mbali, ukiwa tayari unaniambia unaenda kupaona kisha nakuonesha mazingira pamoja na kumuuliza mwenyeji wangu ambae ni mwenyekiti wa hapo uhalali wake!
nauza shamba heka moja lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu uria, bei ni million 4.5, kama upo tayari na unaitaji kweli namba hii nipigie 0652-110878
Sio kuwa sababu ni karibu na chuo ndo hapa na hapo no, chuo kipo mbali kidogo, siwezi nikauza kitu uje upate matatizo, na kabla ya kununua si lazma ufike upaone
shamba ekari moja kwa bei ya million 5 maelewano yapo, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu huria au open university, panaitwa viziwaziwa, ni umbali wa kama kilometre 4 toka barabara ya morogoro, kama upo tayari na unaitaji nicheki kwa namba hii...0652-110878
kama wewe ni mjasiliamali ama unataka kuwa mjasiliamali na unaitaji kujifunza juu ya kutengeneza Rosella wine, basi wasiliana na mimi nikufundishe kwa bei rahisi tu, mawasiliano ni 0652-110878
Nauza shamba ekari moja kwa bei ya shilingi Million sita(6) tu, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo cha Open university(Chuo kikuu huria)....kwa mawasiliano ni 0652-110878
nauza body ya mistubishi Chariot, bado ipo bomba, inasumbua engene sasa me nimekosa pesa ya kubadilisha engene ili niweke ya Rav 4, kama unaitaji ni shilingi milion 2.5, mawasiliano ni 0652-110878
Nauza body la Mistubishi Chariot bado lipo kwenye hali nzuri ni unaenda kutoa engene ya Chariot na unaweka ya Rav 4 bei ni million 3 tu, gari ni ya mwaka 1997, siitaji dalali....mawasiliano 0652110878
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.