nauza shamba heka moja lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu uria, bei ni million 4.5, kama upo tayari na unaitaji kweli namba hii nipigie 0652-110878
weka maelezo ya kutosheleza kabla hujapigiwa. kibaha kwa mathias upande gani wa barabara kuu ya morogoro? Ni umbali kiasi gani toka kwenye barabara kuu? hilo shamba linafikika kwa gari? Limeendelezwa au ni poli tu? Lina mazao yoyote? kama ndiyo ni mazao gani? weka angalau taarifa za vitu kama hivyo.
Au kiko ndani ya eneo la chuo, ili wewe utoke na M4 zako, halafu mimi ile Kwangu wale jamaa wa chuo watakapo amua kuja kuendeleza eneo lao (wanikute mie ni mvamizi wakati wewe umeondoka), weka uhalali wa eneo kabla sijaanza kuomba unipinguzie bei
hakipo eneo la chuo, chuo kipo mbali, ukiwa tayari unaniambia unaenda kupaona kisha nakuonesha mazingira pamoja na kumuuliza mwenyeji wangu ambae ni mwenyekiti wa hapo uhalali wake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.