Kama unapata shida kuandaa RIPOTI mbalimbali au nyaraka za kiofisi nipo hapa kukusaidia.
Kuandaa RIPOTI ya kiofisi ya kurasa 500 sio jambo rahisi kwa kila mtu. Lakini ni Jambo rahisi sana kwangu.
Nina speed kubwa sana ya kutype mpaka kurasa 50 kwa siku moja. Na kwa lugha yoyote.
Basi kama...
1.0 Utangulizi.
Jeshi la polisi la Tanzania, ni kati ya majeshi mengi Afrika ambayo yanalaumiwa sana na wananchi kwa ukiukaji mkubwa wa sheria na haki za binadamu ikiwemo kuua raia katika mazingira ya kutatanisha, kupora mali na fedha za wananchi wanapokuwa mikononi mwa polisi, kuwatolea...
1. 0 UTANGULIZI.
Habari zenu watanzania na wananchi wenzangu wa nchi yetu pendwa ya Tanzania? Nawasalimu nikiwa na furaha kubwa sana na nikiwa na lengo la kuchangia mawazo yangu kwaajili ya kuboresha zaidi huduma za serikali dhidi ya wananchi wa Tanzania ambao ndio sisi (Mimi na Wewe). Wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.