Recent content by johnsalum720

  1. J

    Napata harufu ya matumizi ya Nyuklia Ukraine baada ya Kursk kuanguka

    Imetengenezwa na nani? Una miaka mingapi? Hujui influence ya media na why nations are fighting to controll or block media access?
  2. J

    Napata harufu ya matumizi ya Nyuklia Ukraine baada ya Kursk kuanguka

    I think it's a game plan, Vita inaelekea kwisha, wameona wawwachie kidogo ili wapate nafasi ya kukaa mezani. If you remember, Russia alikuwa ameingia mpaka Kyiv mwanzoni mwa vita wakamwambia ili waanze mazungumzo atoke Kwanza then wakamgeuka. Nadhan itakuwa vice versa ili wapate nguvu na...
  3. J

    Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

    Huyo mama Yuko sahihi 100%, Ingawa elimu na ujanja wa mjini ungetumika, ili ashame haraka. Kama vile kuomba ruhusa bila malipo n.k
  4. J

    TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

    I thought the train has power backup for atleast one hour for emergency situation, Sasa unasimamaje porini, ikitokea emergency itakuwaje?
  5. J

    House4Rent Arusha, Nyumba inapangishwa

    Yes, maji yapo. Maji ya uhakika na storage ya uhakika Kiila mtu analuku yake pia
  6. J

    House4Rent Arusha, Nyumba inapangishwa

    Yes, maji yapo. Maji ya uhakika na storage ya uhakika Kiila mtu analuku yake pia
  7. J

    House4Rent Arusha, Nyumba inapangishwa

    Nyumba (double, 2 in 1) zinapangishwa. Ina master bedroom, sebule na public toilet, na sehemu ndogo kuweka meza ya kupikia. Kodi ni 100,000 kwa mwezi Eneo ni 1 km from Leganga (USA River). Iko karibu na Ngarasero Lodge Hakuna hela ya udalali.
Back
Top Bottom