Kufuta matokeo sio solution ya tatizo lililopo katika sekta ya elimu,hiyo watafanya matokeo yaonekane mazuri lakini vichwa vya hao vijana walio fanya huo mtihani hawatoongezewa kitu coz ishajionyesha kua hakuna lolote walilojifunza darasani............the only way to help hao vijana nikuwajenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.