watanzania tunakila sababu ya kufanya mabadiliko, kwani yote anayosema Dr Slaa yanawezekana, wakati Tanzania ilipopata uhuru kutoka mikono ya wakoloni, haikuwa na kitu, lakini haya yaliwezekana, mwl nyerere aliiongoza nchi hii, maskini, lakini kwakipindi hicho elimu kilitolewa bure, si...