UWEZO WA KITANDA KIPYA TUNAO
Habari zenu ndugu wasomaji na watanzania wote kwa ujumla, naamini mnaendelea vyema na joto la kisiasa linazidi kukua miongoni mwa watanzania. Naamini kwa muitikio wa mwaka huu, ni kweli kabisa watanzania tunayahitaji mabadiliko na tupo tayari kuhakikisha...
Moja kati ya sifa kuu za CHADEMA ni kuwapa cheo cha Unafiki wale wanaopishana nao kimawazo hivyo naamini Slaa na mnafiki kuanzia Jana.
Waraka huu ni njia tuu ya kumshukuru na kumpa hongera zake mnafiki mwenzangu Slaa aliyeamua kujivika mabomu na kujilipua kwa maslahi ya wengi.
Alichofanya...
Mtatumia nguvu nyingi kuzuia mashambulizi ACT tutatumia nguvu nyingi kueleza Sera zetu na mipango thabiti ili tukichukua nchi wananchi wawe wanajua kipi kinaenda kufanywa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.