Mtaa wa bwawani kata ya mwananyamala kuna mtu kajenga ghorofa juu ya mfereji na kusababisha adha ya mafuriko wakati wa mvua. Uongozi wa mtaa umefuatilia lakini wanapigwa za uso. Tunaiomba manispaa ilifuatilie hilo eneo
Hiyo dhoruba imewatokea maeneo ya ofisi ya wilaya ya Cuf wilaya ya kinondoni. Na ndo kwa kiasi kikubwa wamewasaidia kuwastiri. Malipo ni hapa hapa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.