Recent content by John January

  1. J

    Lissu: Makinikia yameshaondoka, Hatujalipwa kitu, Acacia bado wanasafirisha dhahabu, Bombardier siyo mpya, Dreamliner haina kibali cha kuruka nje

    Ujinga mzigo ni hivi, kwenye ndege kuna Pilots, cabin crew na Flight Engineer hao ndio wanaunza flight crew Pilots wanajua kurusha ndege, ila anaesimamia mifumo ya ndani yote ni Flight Engineer, na bila huyo ndege haiwezi kuruka A flight engineer, also sometimes called an air engineer, is...
  2. J

    Natafuta wazo la biashara

    Niuzie mkuu, nahitaji
  3. J

    Natafuta wazo la biashara

    Habari wadau, Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
  4. J

    Natafuta kiwanja Kigamboni

    Nakuja inbox
  5. J

    Natafuta kiwanja Kigamboni

    Nakuja mkuu
  6. J

    Natafuta kiwanja Kigamboni

    Nakuja inbox
  7. J

    Natafuta kiwanja Kigamboni

    Hbr wakuu, Natafuta kiwanja sehemu za Kigamboni, kikiwa Mji Mwema, Geza Ulole au Kibada itapendeza zaidi.
  8. J

    Naomba Serikali iangalie makato ya vyama vya wafanyakazi ni makubwa mno

    Nilijitoa Tughe. Chama cha wafanyakazi ni hiari mkuu, sio lazima. Andika barua kwa boss wako umjulishe unataka kujitoa
  9. J

    Natafuta mke

    Adimu sana, natumai Jf itaokoa jahazi
  10. J

    Natafuta mke

    Habari JF, Nimeamua kujitokeza hadharani kuongeza kasi ya utafutaji. Nahitaji kuoa na kuanza kulea familia. Mtakaonikejeli mbarikiwe, hatukuumbwa sawa wote, pia tunatofautiana malezi na fursa. Umri wangu ni miaka 33, mrefu wa wastani, maji ya kunde. Kitaaluma ni Mhandisi wa Tehama...
Back
Top Bottom