Habari wakuu,
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bunju A Magurumawe, kimepimwa, eneo liko sehemu nzuri (kuna majirani) na sio bondeni, maji na umeme viko karibu, barabara inapitika vizuri!
Ukubwa wake ni mita za mraba 1,291. (1,291 square metres)
Bei ni tsh milioni 32 (32m tzs)
Mawasiliano 0742...
Habari wakuu
Kutakuwa na shindano la fifa 17 kwenye ps3 na ps4 siku ya jumamosi Oct 28,2017 pale NEW MSASANI CLUB,
Shindano litaanzia kwenye hatua ya makundi na kisha mtoano, shindano litaanza saa nne asubuhi
Kiingilio kwa ps 3 ni 4,000 na mshindi atapewa 30,0000
Kiingilio kwa ps 4 ni 7,000 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.