"Tanzania ni nchi pekee dunianiyenye maprofesa na madokta wengi lakini output yao ni zero" - Jenerali ulimwengu.
Hao maprofesa ndiyo walitoa ripoti ya makinikia. Unaikumbuka it was total gabbage. We all know it.
Hao maprofesa wako unaowasema ni product ya UPE.
Unajua UPE ni nini na madhara...
Ms
Mayalla! Mayalla,! Rafiki yangu Mayalla. Do yuo really believe in this bullshit?
CCM "inashinda" uchaguzi siyo kupitia sanduku la kura bali kupitia "tume ya uchaguzi", TISS na polisi. Ondoa hizi taasisi tatu CCM muflisi. We all know that.
Kwa nini rafiki yangu unakuwa hivi. Unatafuta...
Jibu hoja za Gwajima. Why attack the messenger. Machawa wengi hawana chochote kichwani.
Nimesoma thread zako nyingi zote ni zero content.
Kwa nini ujidhalilishe bro. Vipande 30 vya fedha?
Naona una tatizo la kuelewa lugha. English kwako imekupita kando ndiyo maana ukaanziisha mada isiyokuwa na kichwa wala miguu.
Nilikuwa natataka kukuelewesha kwamba tom boys kwa maana halisi siyo shoga wala msagaji kama ulijyotaka kuwaelimisha/ kuwaaminisha watu.
Uelewa wako mdogo wa lugha...
Wabongo, especially vijana wanajifanya wanajua kila kitu lakini kichwani hamna kitu. They have the resources to do some research but are so lazy they want everything in a silver platter. No wonder this country has gone to the dogs.
Uchukue kombe kwa mpira gani? Ununue kwa pesa ipi? Uwezo wenu ni kununua marefa wa bongo kwa senti mbili. Unashindwa kuifunga timu kama Dodoma Jiji au Namungo mpaka ubebwebwe na referree ndiyo umfunge RS Berkhane! In your dreams.
Unajua current meaning ya tom boy?. Check merrian webster dictionary online. Tom boy Is not the same as transgender/lbqt if that us what you meant
Labda tafuta term nyingine kuelezea mawazo yako.
Please don't point fongers to people you don't undestand.
Wengi wetu tumevamia dini za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.