Ndugu wana JF habari za mda huu,moja kwa moja nitoe ufafanuzi juu ya kichwa cha mada husika,kwamba kuna taarifa zinazoenea kwa kasi mtaani kuwa kigezo cha kujiunga na diploma kinachohitaji mdahiliwa wa kozi ya ualimu wa shule ya msingi kuwa na cheti cha kozi yoyote kutoka chuo chochote...
WanaJf .,wadau kada za afya tusaidiane wakuu nn cha kufanya.,mm ni muhanga wa hili tatizo nmefeli chemistry hayo yote nmefaulu .,na mpk ss cjui cha kufanya nlitamani nisome clinical au pharmaceutical science certificate .,lakini nmekwamaa....
Mimi nimehitimu kidato cha nne 2011 nna ufaulu wa masomo ya sayansi kasoro chemistry nmefeli .,je naweza kupata chuo cha serikali cha pharmacy nkasomee ngazi ya cheti....tafadhali mwenye uelewa na hili anijuze ..
Habari zenu wakuu,samahani mm nlikuwa natamani nisome pharmacy certificate.,alaf katika ufaulu wang masomo ya sayansi nimefeli chemistry tu.,je, naweza kupata chuooo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.