Wabongo kampuni legit wanazikataa kuzitumia, kuna e-commerce nyingi sana mzuri kwa biashara za online watu wanafungua wanakosa wateja wanazifunga,
Ukisikia lawama utafikiri mtu katapeliwa e-commerce kumbe kajichanga kwenye ma Forex,watu wengi wanakimbilia michongo fake kuliko michongo genuine.
Hiki kwanini mtu akitangaza biashara mtandaoni baadhi ya watu uchukia, kukasirika na kutamini ushindwe ukose wateja upotee kwenye ramani.
Hivi hili kundila la hawa watu unufaika na nini watu wakishindwa kufikia malengo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.