Recent content by johari Joh

  1. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makampuni legit yanayota huduma za online business

    Wabongo kampuni legit wanazikataa kuzitumia, kuna e-commerce nyingi sana mzuri kwa biashara za online watu wanafungua wanakosa wateja wanazifunga, Ukisikia lawama utafikiri mtu katapeliwa e-commerce kumbe kajichanga kwenye ma Forex,watu wengi wanakimbilia michongo fake kuliko michongo genuine.
  2. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Unahitaji nini kutoka South Africa?

    Nashida na Air Pods original kwa bei mzuri
  3. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Hizo ziko Tifauti na hizi? Ebu weka picha tuone
  4. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Mbona bei za used zinazidi za mashine mpy?
  5. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Nashida na Outboard Engine za Yamaha mbili za mtumba kutoka Japan 1.HP 15 2.HP 40 Hadi dar nazichukua mkononi bei gani?
  6. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Juma moso ya leo.
  7. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Tabia mbaya sana,lengo nikuvhanganya watu.
  8. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Utanchanga mteja wangu,naomba kuwa serious hii ni biashara.
  9. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Hii namba ya nini boss?
  10. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    0769 443 448
  11. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Watejawangu wa Dagaa wa kukaanga leo kuna punguzu la bei. Ndoo moja nitakuuzua 80,000 tu. Kwamaelezo zaidi tembelea tovuti yetu www.digxam.site
  12. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

  13. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Hiki kwanini mtu akitangaza biashara mtandaoni baadhi ya watu uchukia, kukasirika na kutamini ushindwe ukose wateja upotee kwenye ramani. Hivi hili kundila la hawa watu unufaika na nini watu wakishindwa kufikia malengo?
  14. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Kumekucha wapendwa samaki wapi kama unahitaji tuwasiliane.
  15. johari Joh

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Asubuhi nyingine tena,ukitaka Samaki wa ofa,tembelea tovuti ya wauzaji wa Samaki wakiwa sehemu mbalimbali.
Back
Top Bottom