Recent content by Joh97

  1. Joh97

    Elimu ya biashara kwa vijana wanaotaka kuanza

    Vijana tulio wengi mara nyingi tunakwama sana kwenye biashara kutokana na kupeana mawazo ya maandishi na siyo ya mazoezi unakuta vijana wengi tunakuwa na mitaji ambayo kweli tuki isimamia vyema ni rahisi kufanikiwa ila tunashindwa namna ya kufanya bishara kinachotufelisha mara nyingi ni...
  2. Joh97

    Upigaji na wizi

    Kwa sasa Tanzania tuna mashirika makubwa sana ya misaada na mashirika hayo lengo lao kubwa zaidi ni kutoa misaada mbali mbali. Mfano IDWF (international domestic workers federation) nimelisemea shirika hili kwasababu nimewahi kufanya makala inayohusu misaada wanayotoa kwenye jamii ila cha...
Back
Top Bottom