Inasikitisha kwa kweli pale unapoona hali kama hii.lakini nani asiyejua kwamba hawa jamaa ni wezi, waongo na wanafiki.Hapo kale kagenge kanascrutinize jinsi ya kumeki si unajua tena wazee wa dili popote! i hate them guys.:whoo:
mmmh. jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.ma PM wengi wamepita nchi hii lakini wengi wao wakaishia kuwa manyang'au
wakubwa wanakula kamisheni mpaka kwenye dili la mia mbili!!! acheni bwana, don't be emotional.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.