Haya maisha ukikomaa na kitabu peke ake utaishia kupata hela ya kula na unaweza ukakosa kabisa hela yenyewe ya kula
Also ukisubiri umalize kitabu kwanza utajikuta unamalza na age imekutupa mkono
Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu 💡
😂😂😂 young angekuwa labda ni 25 and below
Ila ameanza vizuri but ni vizuri zaidi angekuja na ushahidi nini gharama ,,, bei gani inakuwa invested na inakujaje 50M per annum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.