Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini...
Baada ya kukaa bila msichana kwa muda mrefu kdogo nimeamua kuwa na demu lakini tatizo linakuja pale ninapotaka kumtambulisha kwa washikaji nashindwa coz anafanyakaz kwenye lounge moja hapa mjini na sometimes anaingiaga ucku ......ila nampenda tatizo ni hzo ratiba zake....eti wadau niendelee kuwa...
Nilikuwa napenda sana mahusiano ya mbali lakini sikuhizi siyataki baada ya mwenzangu kutoonyesha kuni..miss au kuwa na hamu na mimi wakati hatujakutana siku nyingi...Halaf simu yake hata akienda kuoga anaenda nayo sijui anaficha kitu gani wakati sijawahi kuichunguza hata siku moja...nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.