Ndugu zangu!
Majina sio dini! Dini ya Uislamu sio waIslamu ni maandiko sio matendo ya wenye majina ya Uislamu au Ukristo! Chambua orodha ya "Mafisadi na Walioweka na Kutayarisha mikataba" Je, kuna Uislamu au Ukristo hapo ndugu? Bila kupotosha "Uislamu" ni uadilifu na kufuata "Njia Iliyonyooka"...
Anolds kijana wangu!
Suala la mahari ni la kimila, kidini na kimpenzi! Kwa mimi muumini wa dini ya Kiislamu mahari ni muhimu kwani ni zawadi kwa ayeolewa. Kiislamu kutokana na maandiko ya Kitabu chetu kitukufu anayeolewa ndiye hupewa mahari sio mzazi! Na mahari mara nyingi bi harusi huangalia...
Anolds kijana wangu!
Suala la mahari ni la kimila, kidini na kimpenzi! Kwa mimi muumini wa dini ya Kiislamu mahari ni muhimu kwani ni zawadi kwa nayeolewa. Kiislamu kutokana na maandiko ya Kitabu chetu kitukufu anayeolewa ndiye hupewa mahari sio mzazi! Na mahari mara nyingi bi harusi huangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.