Habari wakuu,
Naitwa Jofrey Mshobozi Mafuru. Nina uzoefu wa miaka 4+ katika mauzo ya moja kwa moja na huduma kwa wateja.
NINI NAWEZA KUFANYIA KAMPUNI YAKO:
1. Kusimamia wateja 200+
2. Kufikia malengo ya mauzo kila mwezi - 93.3% client retention rate
3. Kupata maduka/wateja wapya kila wiki...
Habari wakuu,
Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja.
Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora.
Niko tayari kuanza kazi mara moja na nina uwezo wa kufanya kazi chini ya pressure.
Nipigie: [0740 490 386, 0612945593 au watssap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.