Nakubaliana na wewe kwa asilimia 85%, gari yangu niliagiza nje ni aina ya harrier, ilikuwa fresh sana, ila kuna kakitu kamoja kaliaharibika, nikaenda kutengeneza gareji moja hapa mjini, yani tokea hapo nimekuwa ni mtu wa kuenda gereji kila siku yani...mala hiki mala kile... duh hata nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.