Inawezekana amefanikiwa huku Simiyu lakini akashindwa kupambana na changamoto za Dar. Halafu pia, kila Simiyu nayo ni sehemu ya Tanzania inahitaji kiongozi mzuri, mwenye utendaji mzuri
Kwa wanaofuatilia suala hili kuna mambo mawili ambayo yanalifanya kuwa gumu:
1. Makasha " makontena" yalikuja kwa jina la mtu binafsi na siyo jina la Mradi au Taasisi
2. Sheria za kodi hazitoi msamaha wa kodi kwa fanicha
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora Anne Kilango Malechela alipoteza kazi yake kwa kusema tu, kuwa mkoa wake hakua na watumishi hewa. Ni dhahiri kuwa mkuu wa utumishi wa mamlaka za mikoa ni RAS, hivyo ni lazima taarifa hizo yeye kama mwanasiasa alizipata kwa RAS. Kama ni adhabu ilitakiwa apewe RAS...
Ni kweli Makonda alikosea kwenye kuandika Bill of lading -ila, kwa kuwa inaeleweka vifaa vilikuwa kwa ajili ya shule za Dar es Salaam, busara ilikuwa ni kupokea na kukaa na Makonda kumwelimisha. Halafu serikali ingesimamia kuhakikisha kuwa beneficiaries wa vifaa hivyo ni exclusively shule za Dar...
Sheria za kodi zinaeleweka consignee anaandikwa kwenye bill of lading na siyo kwenye mzigo husika. Hata ukivuta jina kwenye mzigodocuments zilizosafirisha mzigo zinatambua mmiliki halali wa mzigo ni yule aliyeandikwa kwenye bill of lading
Hapo naona umegoroga mambo:
1. Kuna argument ya teuzi za wanataaluma kuteuliwa kwenye nafasi za uongozi ndani wa wizara na idara za serikali
2. Kama wanataaluma wanateuliwa kwenye nafasi za uongozi ndani ya wizara na idara za serikali, - direct expected impact kwa chuo ilitakiwa iwe ni brain...
Huu utaratibu wa kuteaua waandishi wa habari kutoka mass media kuwa viongozi una madhara kwenye ethics za uandishi na utangazaji. Ni dhahiri sasa kuwa kwa sababu imeshafahamika eneo hilo ni moja ya maeneo yanayoangaliwa na viongozi wakuu kwa ajili ya uteuzi wanaofanya kazi huko watajitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.