CCM tusiwaige sana wachina na hasa hili la chama chao cha Kikomunisti kumsaidia Papa kuteua askofu wa Katoliki!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,614
141,439
Juzi kati nilikuwa nafuatilia habari kupitia BBC Dira ya Dunia nikashangaa kusikia kuwa huko Uchina chama cha Kikomunisti humsaidia Papa wa Vatican kuteua maaskofu wa katoliki nchini humo. Nilishangazwa zaidi kusikia kuwa papa amekubaliana na hali hiyo na kwamba yule mteule wake aliyemteua awali bila kuhusisha chama anastaafu. Chonde chonde CCM pamoja na urafiki wetu uliotukuka na chama cha kikomunisti tunaweza kuiga mengine yote lakini siyo hili. Ni ushauri tu, ahsante!
 
Unajua kwanini padre Charles Kitima ameukwaa ukatibu Mkuu wa TEC? Moja ni wazi kuwa he is a cool resource mobilizer, lakini sababu kubwa zaidi ni........
.
 
Kanisa moja takatifu katoliki la mitume litadumu daima hata kama mwanadam ataanguka na kulidhalilisha kanisa lakini yote yatapita!! Viongozi wa kanisa ni watu na hawataweza kupoteza utakatifu wa kanisa!!! IMANI TU YAPONYA NA SI UWEPO WA PADRE, ASKOFU, KADINAL AU PAPA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kati nilikuwa nafuatilia habari kupitia BBC Dira ya Dunia nikashangaa kusikia kuwa huko Uchina chama cha Kikomunisti humsaidia Papa wa Vatican kuteua maaskofu wa katoliki nchini humo. Nilishangazwa zaidi kusikia kuwa papa amekubaliana na hali hiyo na kwamba yule mteule wake aliyemteua awali bila kuhusisha chama anastaafu. Chonde chonde CCM pamoja na urafiki wetu uliotukuka na chama cha kikomunisti tunaweza kuiga mengine yote lakini siyo hili. Ni ushauri tu, ahsante!
Sielewi unachokiogopa
Mwezi April kama sijakosea,Ikulu ya Dar ilisambaza habari kwamba balozi wa papa,amemtembelea Rais wetu na kufanya mazungumzo ya faragha
Hazikupita siku mbili tukapata habari kwamba papa ameteua askofu mkuu mpya wa kumrithi kadinali pengo.
Maana yake nii kwamba ule ujio wa balozi wa papa kwa mwenyekiti wa ccm,ulikua ni kumtaarifu kwamba tunaleta mtu mwingine,je unaridhika nae au tulete mwingine?
 
T
Kanisa moja takatifu katoliki la mitume litadumu daima hata kama mwanadam ataanguka na kulidhalilisha kanisa lakini yote yatapita!! Viongozi wa kanisa ni watu na hawataweza kupoteza utakatifu wa kanisa!!! IMANI TU YAPONYA NA SI UWEPO WA PADRE, ASKOFU, KADINAL AU PAPA

Sent using Jamii Forums mobile app
The church is made up of both of divine and human elements
 
Sielewi unachokiogopa
Mwezi April kama sijakosea,Ikulu ya Dar ilisambaza habari kwamba balozi wa papa,amemtembelea Rais wetu na kufanya mazungumzo ya faragha
Hazikupita siku mbili tukapata habari kwamba papa ameteua askofu mkuu mpya wa kumrithi kadinali pengo.
Maana yake nii kwamba ule ujio wa balozi wa papa kwa mwenyekiti wa ccm,ulikua ni kumtaarifu kwamba tunaleta mtu mwingine,je unaridhika nae au tulete mwingine?
balozi was papa/Vatican ni balozi kama walivyo mabalozi wengine wanaoziwakilisha nchi zao kwetu nchini, so kwa balozi kwenda ikulu sio Jambo la ajabu.
utaratibu wa kupata askofu ni mchakato wa ndani chini ya TEC anachofanya papa ni kuidhinisha tu.
 
Back
Top Bottom